Noble Quran » Swahili » Sorah Al-Infitar ( The Cleaving )
Choose the reader
Swahili
Sorah Al-Infitar ( The Cleaving ) - Verses Number 19
عَلِمَتْ نَفْسٌ مَّا قَدَّمَتْ وَأَخَّرَتْ ( 5 )

Hapo kila nafsi itajua ilicho tanguliza, na ilicho bakisha nyuma.
يَا أَيُّهَا الْإِنسَانُ مَا غَرَّكَ بِرَبِّكَ الْكَرِيمِ ( 6 )

Ewe mwanaadamu! Nini kilicho kughuri ukamwacha Mola wako Mlezi Mtukufu?
وَمَا أَدْرَاكَ مَا يَوْمُ الدِّينِ ( 17 )

Na nini kitakacho kujuulisha Siku ya Malipo ni siku gani?
Random Books
- RISALA FUPI YA KUMUWEZESHA MTU KUPAMBANUA NI IPI DINI YA HAKIHiki ni kitabu kilichotayarishwa kwa lengo la kuwapatia wasomaji, suluhisho la matatizo wanayoyapata watu wengi wanapotaka kufahamu ni ipi Dini ya Haki.
Source : http://www.islamhouse.com/p/309041
- RISALA FUPI YA KUMUWEZESHA MTU KUPAMBANUA NI IPI DINI YA HAKIHiki ni kitabu kilichotayarishwa kwa lengo la kuwapatia wasomaji, suluhisho la matatizo wanayoyapata watu wengi wanapotaka kufahamu ni ipi Dini ya Haki.
Source : http://www.islamhouse.com/p/309041
- Dini Ya Kweli Ya Mwenyezi MunguYaliyomo: • Dini Ya Kweli Ya Mwenyezi Mungu Ni Ipi? • Jina La Dini • Mwenyezi Mungu Na Uumbaji • Ujumbe Wa Dini Za Uwongo • Dini Ya Mwenyezi Mungu Ni Ya Ulimwengu Mzima • Kumtambua Mwenyezi Mungu. • Dalili Za Mwenyezi Mungu. • Hitimisho
Source : http://www.islamhouse.com/p/161314
- Vipi tusome Tarekhe ya Aal-Beit na Masahaba?-
Source : http://www.islamhouse.com/p/336327
- KUSAFISHA KUW AAMINI UCHAFU WA KUTO AMINI-
Source : http://www.islamhouse.com/p/339834