Noble Quran » Swahili » Sorah An-Nazi'at ( Those who Pull Out )
Choose the reader
Swahili
Sorah An-Nazi'at ( Those who Pull Out ) - Verses Number 46
يَقُولُونَ أَإِنَّا لَمَرْدُودُونَ فِي الْحَافِرَةِ ( 10 )
Sasa wanasema: Ati kweli tutarudishwa kwenye hali ya kwanza?
إِذْ نَادَاهُ رَبُّهُ بِالْوَادِ الْمُقَدَّسِ طُوًى ( 16 )
Mola wake Mlezi alipo mwita katika bonde takatifu la T'uwaa, akamwambia:
وَأَهْدِيَكَ إِلَىٰ رَبِّكَ فَتَخْشَىٰ ( 19 )
Nami nitakuongoa ufike kwa Mola wako Mlezi, upate kumcha.
فَأَخَذَهُ اللَّهُ نَكَالَ الْآخِرَةِ وَالْأُولَىٰ ( 25 )
Basi hapo Mwenyezi Mungu akamshika kumuadhibu kwa la mwisho na la mwanzo.
إِنَّ فِي ذَٰلِكَ لَعِبْرَةً لِّمَن يَخْشَىٰ ( 26 )
Kwa hakika katika haya yapo mazingatio kwa wanao ogopa.
أَأَنتُمْ أَشَدُّ خَلْقًا أَمِ السَّمَاءُ ۚ بَنَاهَا ( 27 )
Je! Ni vigumu zaidi kukuumbeni nyinyi au mbingu? Yeye ndiye aliye ijenga!
وَأَغْطَشَ لَيْلَهَا وَأَخْرَجَ ضُحَاهَا ( 29 )
Na akautia giza usiku wake, na akautokeza mchana wake.
Random Books
- Dini Ya Kweli Ya Mwenyezi MunguYaliyomo: • Dini Ya Kweli Ya Mwenyezi Mungu Ni Ipi? • Jina La Dini • Mwenyezi Mungu Na Uumbaji • Ujumbe Wa Dini Za Uwongo • Dini Ya Mwenyezi Mungu Ni Ya Ulimwengu Mzima • Kumtambua Mwenyezi Mungu. • Dalili Za Mwenyezi Mungu. • Hitimisho
Source : http://www.islamhouse.com/p/161314
- Vipi tusome Tarekhe ya Aal-Beit na Masahaba?-
Source : http://www.islamhouse.com/p/336327
- Dini Ya Kweli Ya Mwenyezi MunguYaliyomo: • Dini Ya Kweli Ya Mwenyezi Mungu Ni Ipi? • Jina La Dini • Mwenyezi Mungu Na Uumbaji • Ujumbe Wa Dini Za Uwongo • Dini Ya Mwenyezi Mungu Ni Ya Ulimwengu Mzima • Kumtambua Mwenyezi Mungu. • Dalili Za Mwenyezi Mungu. • Hitimisho
Source : http://www.islamhouse.com/p/161314
- Wanawake katika Uislamu Ukilinganisha na Wanawake katika Mafundisho ya Kiyahudi-Kikristo-
Source : http://www.islamhouse.com/p/191551
- Hisn Al-Muslim (Kinga Ya Muislamu katika Nyiradi Za Qur-ani Na Hadithi Za Mtume)-
Formation : Said Ali ibn Wahf AI-Qahtaani
Source : http://www.islamhouse.com/p/1590












