Noble Quran » Swahili » Sorah Al-Layl ( The Night )
Choose the reader
Swahili
Sorah Al-Layl ( The Night ) - Verses Number 21
وَأَمَّا مَن بَخِلَ وَاسْتَغْنَىٰ ( 8 )

Na ama mwenye kufanya ubakhili, na asiwe na haja ya wenzake,
وَمَا يُغْنِي عَنْهُ مَالُهُ إِذَا تَرَدَّىٰ ( 11 )

Na mali yake yatamfaa nini atapo kuwa anadidimia?
وَمَا لِأَحَدٍ عِندَهُ مِن نِّعْمَةٍ تُجْزَىٰ ( 19 )

Na wala si kwa kuwa yupo yeyote aliye mfanyia hisani ndio anamlipa.
Random Books
- Je, IMANI YA UTATU Ni ya Ufunuo Mtakatifu?Je, IMANI YA UTATU Ni ya Ufunuo Mtakatifu?.
Source : http://www.islamhouse.com/p/371262
- RISALA FUPI YA KUMUWEZESHA MTU KUPAMBANUA NI IPI DINI YA HAKIHiki ni kitabu kilichotayarishwa kwa lengo la kuwapatia wasomaji, suluhisho la matatizo wanayoyapata watu wengi wanapotaka kufahamu ni ipi Dini ya Haki.
Source : http://www.islamhouse.com/p/309041
- Mazungumzo ya Mwislamu na Mkristo-
Source : http://www.islamhouse.com/p/380265
- ABU HURAIRA SAHABA WA MTUME-
Source : http://www.islamhouse.com/p/336329
- Wanawake katika Uislamu Ukilinganisha na Wanawake katika Mafundisho ya Kiyahudi-Kikristo-
Source : http://www.islamhouse.com/p/191551