Noble Quran » Swahili » Sorah Al-Ma'arij (The Ways of Ascent )
Choose the reader
Swahili
Sorah Al-Ma'arij (The Ways of Ascent ) - Verses Number 44
تَعْرُجُ الْمَلَائِكَةُ وَالرُّوحُ إِلَيْهِ فِي يَوْمٍ كَانَ مِقْدَارُهُ خَمْسِينَ أَلْفَ سَنَةٍ ( 4 )
![Al-Ma'arij (The Ways of Ascent ) - Ayaa 4](style/default/icons/mp3.png)
Malaika na Roho hupanda kwendea kwake katika siku ambayo kadiri yake ni miaka khamsini elfu!
يَوْمَ تَكُونُ السَّمَاءُ كَالْمُهْلِ ( 8 )
![Al-Ma'arij (The Ways of Ascent ) - Ayaa 8](style/default/icons/mp3.png)
Siku ambayo mbingu zitakapo kuwa kama maadeni iliyo yayushwa.
يُبَصَّرُونَهُمْ ۚ يَوَدُّ الْمُجْرِمُ لَوْ يَفْتَدِي مِنْ عَذَابِ يَوْمِئِذٍ بِبَنِيهِ ( 11 )
![Al-Ma'arij (The Ways of Ascent ) - Ayaa 11](style/default/icons/mp3.png)
Ijapo kuwa wataonyeshwa waonane. Atatamani mkosefu lau ajikomboe na adhabu ya siku hiyo kwa kuwatoa fidia wanawe,
وَالَّذِينَ هُم مِّنْ عَذَابِ رَبِّهِم مُّشْفِقُونَ ( 27 )
![Al-Ma'arij (The Ways of Ascent ) - Ayaa 27](style/default/icons/mp3.png)
Na ambao wanaiogopa adhabu itokayo kwa Mola wao Mlezi.
إِنَّ عَذَابَ رَبِّهِمْ غَيْرُ مَأْمُونٍ ( 28 )
![Al-Ma'arij (The Ways of Ascent ) - Ayaa 28](style/default/icons/mp3.png)
Hakika adhabu ya Mola wao Mlezi si ya kuaminika nayo.
إِلَّا عَلَىٰ أَزْوَاجِهِمْ أَوْ مَا مَلَكَتْ أَيْمَانُهُمْ فَإِنَّهُمْ غَيْرُ مَلُومِينَ ( 30 )
![Al-Ma'arij (The Ways of Ascent ) - Ayaa 30](style/default/icons/mp3.png)
Isipo kuwa kwa wake zao, au iliyo wamiliki mikono yao ya kuume, basi hao hawalaumiwi -
فَمَنِ ابْتَغَىٰ وَرَاءَ ذَٰلِكَ فَأُولَٰئِكَ هُمُ الْعَادُونَ ( 31 )
![Al-Ma'arij (The Ways of Ascent ) - Ayaa 31](style/default/icons/mp3.png)
Lakini wanao taka kinyume ya haya, basi hao ndio wanao ruka mipaka.
وَالَّذِينَ هُمْ لِأَمَانَاتِهِمْ وَعَهْدِهِمْ رَاعُونَ ( 32 )
![Al-Ma'arij (The Ways of Ascent ) - Ayaa 32](style/default/icons/mp3.png)
Na ambao wanazichunga amana zao na ahadi zao,
فَمَالِ الَّذِينَ كَفَرُوا قِبَلَكَ مُهْطِعِينَ ( 36 )
![Al-Ma'arij (The Ways of Ascent ) - Ayaa 36](style/default/icons/mp3.png)
Wana nini wale walio kufuru wanakutumbulia macho tu?
عَنِ الْيَمِينِ وَعَنِ الشِّمَالِ عِزِينَ ( 37 )
![Al-Ma'arij (The Ways of Ascent ) - Ayaa 37](style/default/icons/mp3.png)
Makundi kwa makundi upande wa kulia na upande wa kushoto!
أَيَطْمَعُ كُلُّ امْرِئٍ مِّنْهُمْ أَن يُدْخَلَ جَنَّةَ نَعِيمٍ ( 38 )
![Al-Ma'arij (The Ways of Ascent ) - Ayaa 38](style/default/icons/mp3.png)
Kwani kila mmoja wao anatumai kuingizwa katika Pepo ya neema?
كَلَّا ۖ إِنَّا خَلَقْنَاهُم مِّمَّا يَعْلَمُونَ ( 39 )
![Al-Ma'arij (The Ways of Ascent ) - Ayaa 39](style/default/icons/mp3.png)
La, hasha! Hakika Sisi tumewaumba kutokana na wanacho kijua.
فَلَا أُقْسِمُ بِرَبِّ الْمَشَارِقِ وَالْمَغَارِبِ إِنَّا لَقَادِرُونَ ( 40 )
![Al-Ma'arij (The Ways of Ascent ) - Ayaa 40](style/default/icons/mp3.png)
Basi naapa kwa Mola Mlezi wa mashariki zote na magharibi zote kwamba Sisi tunaweza
عَلَىٰ أَن نُّبَدِّلَ خَيْرًا مِّنْهُمْ وَمَا نَحْنُ بِمَسْبُوقِينَ ( 41 )
![Al-Ma'arij (The Ways of Ascent ) - Ayaa 41](style/default/icons/mp3.png)
Kuwabadili kwa walio bora kuliko wao; na Sisi hatushindwi.
فَذَرْهُمْ يَخُوضُوا وَيَلْعَبُوا حَتَّىٰ يُلَاقُوا يَوْمَهُمُ الَّذِي يُوعَدُونَ ( 42 )
![Al-Ma'arij (The Ways of Ascent ) - Ayaa 42](style/default/icons/mp3.png)
Basi waache wapige porojo na wacheze, mpaka wakutane na siku yao wanayo ahidiwa,
Random Books
- MIONGONI MWA ITIKADI ZA SHIA-
Source : http://www.islamhouse.com/p/322550
- Ujumbe wa kweli wa Yesu KristoUjumbe wa kweli wa Yesu Kristo.
Source : http://www.islamhouse.com/p/371264
- Je, IMANI YA UTATU Ni ya Ufunuo Mtakatifu?Je, IMANI YA UTATU Ni ya Ufunuo Mtakatifu?.
Source : http://www.islamhouse.com/p/371262
- MASWALI 60 KWA WAKRISTOMASWALI 60 KWA WAKRISTO.
Source : http://www.islamhouse.com/p/371266
- Dini Ya Kweli Ya Mwenyezi MunguYaliyomo: • Dini Ya Kweli Ya Mwenyezi Mungu Ni Ipi? • Jina La Dini • Mwenyezi Mungu Na Uumbaji • Ujumbe Wa Dini Za Uwongo • Dini Ya Mwenyezi Mungu Ni Ya Ulimwengu Mzima • Kumtambua Mwenyezi Mungu. • Dalili Za Mwenyezi Mungu. • Hitimisho
Source : http://www.islamhouse.com/p/161314