Noble Quran » Swahili » Sorah Al-Mutaffifin (Those Who Deal in Fraud)
Choose the reader
Swahili
Sorah Al-Mutaffifin (Those Who Deal in Fraud) - Verses Number 36
الَّذِينَ إِذَا اكْتَالُوا عَلَى النَّاسِ يَسْتَوْفُونَ ( 2 )

Ambao wanapo jipimia kwa watu hudai watimiziwe.
وَإِذَا كَالُوهُمْ أَو وَّزَنُوهُمْ يُخْسِرُونَ ( 3 )

Na wao wanapo wapimia watu kwa kipimo au mizani hupunguza.
يَوْمَ يَقُومُ النَّاسُ لِرَبِّ الْعَالَمِينَ ( 6 )

Siku watapo msimamia watu Mola Mlezi wa walimwengu wote?
كَلَّا إِنَّ كِتَابَ الْفُجَّارِ لَفِي سِجِّينٍ ( 7 )

Hasha! Hakika maandiko ya wakosefu bila ya shaka yamo katika Sijjin.
وَمَا يُكَذِّبُ بِهِ إِلَّا كُلُّ مُعْتَدٍ أَثِيمٍ ( 12 )

Wala haikadhibishi ila kila mwenye kuruka mipaka, mwenye dhambi.
إِذَا تُتْلَىٰ عَلَيْهِ آيَاتُنَا قَالَ أَسَاطِيرُ الْأَوَّلِينَ ( 13 )

Anapo somewa Aya zetu husema: Ni visa vya watu wa kale!
كَلَّا ۖ بَلْ ۜ رَانَ عَلَىٰ قُلُوبِهِم مَّا كَانُوا يَكْسِبُونَ ( 14 )

Hasha! Bali yametia kutu juu ya nyoyo zao hao walio kuwa wakiyachuma.
كَلَّا إِنَّهُمْ عَن رَّبِّهِمْ يَوْمَئِذٍ لَّمَحْجُوبُونَ ( 15 )

Hasha! Hakika hao siku hiyo bila ya shaka watazuiliwa na neema za Mola wao Mlezi.
ثُمَّ يُقَالُ هَٰذَا الَّذِي كُنتُم بِهِ تُكَذِّبُونَ ( 17 )

Kisha waambiwe: Haya ndiyo mliyo kuwa mkiyakadhabisha.
كَلَّا إِنَّ كِتَابَ الْأَبْرَارِ لَفِي عِلِّيِّينَ ( 18 )

Hasha! Hakika maandiko ya watu wema bila ya shaka yamo katika I'liyyin.
خِتَامُهُ مِسْكٌ ۚ وَفِي ذَٰلِكَ فَلْيَتَنَافَسِ الْمُتَنَافِسُونَ ( 26 )

Muhuri wake ni miski. Na katika hayo washindanie wenye kushindana.
إِنَّ الَّذِينَ أَجْرَمُوا كَانُوا مِنَ الَّذِينَ آمَنُوا يَضْحَكُونَ ( 29 )

Kwa hakika wale walio kuwa wakosefu walikuwa wakiwacheka walio amini.
وَإِذَا انقَلَبُوا إِلَىٰ أَهْلِهِمُ انقَلَبُوا فَكِهِينَ ( 31 )

Na wanapo rudi kwa watu wao hurudi nao wamefurahi.
وَإِذَا رَأَوْهُمْ قَالُوا إِنَّ هَٰؤُلَاءِ لَضَالُّونَ ( 32 )

Na wanapo waona husema: Hakika hawa ndio khasa walio potea.
Random Books
- KAULI YA QURAN NA KAULI ZA AHLI BAIT WA MTUME SAW KUHUSIANA VIPENZI VYA ALLAH-
Source : http://www.islamhouse.com/p/336325
- Muongozo Wa Kuufahamu Uislamu Kwa Ufupi Na Kwa Kutumia Vielelezo Vya Picha-
Source : http://www.islamhouse.com/p/172713
- Ujumbe wa kweli wa Yesu KristoUjumbe wa kweli wa Yesu Kristo.
Source : http://www.islamhouse.com/p/371264
- KUSAFISHA KUW AAMINI UCHAFU WA KUTO AMINI-
Source : http://www.islamhouse.com/p/339834
- Maswali YaliyowaongozaVijana wa Kishia Kuingia Katika HakiMaswali YaliyowaongozaVijana wa Kishia Kuingia Katika Haki.
Source : http://www.islamhouse.com/p/369244